Kuwa na uwezo wa kuvaa mavazi na kuonekana maridadi kila siku ni ustadi ambao unaweza kuwa ngumu kuufahamu. Bahati nzuri kwako, tunakuletea vidokezo vya mitindo kila siku ambayo kila mwanamke anapaswa kujua. Leo tunakuletea hii kuhusu black little dress
Kama unataka kupata muonekano simple yet chic chagua kuvaa black little dress ( hakikisha ina ku-fit vyema na iwe inaendana na mahali uendapo),
Lakini pia black little dress inaweza kuvaliwa na mtu wa aina yoyote mwenye mwili aina yoyote, uwe mrefu au mfupi, mwembamba au mnene ni piece ambayo inavaliwa mara nyingi na sehemu tofauti tofauti,

Lakini pia faida ya black little dress ni kuwa kuwa styled na accessories za namna nyingi na rangi tofauti tofauti, lakini pia ni rahisi kuvalia na viatu na handbag ya rangi yoyote.

Mwisho ni kwamba black little dress never goes out of style.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…