Kumi la Kwanza Limeisha Na La Pili Limeingia, katika Kumi La Pili Mara Nyingi Hapa Ndiyo Tunapo Pata Mialiko Ya Iftar Kwa Ndugu Jamaa Na Marafiki. Watu Wengi Wanashindwa Kufika Walipo Alikwa Kwa Sababu Tu Wamekosa Cha Vaa Katika Shughuli Hio.
Leo Tunawaleta Mavazi 11 Ambayo Unaweza Kuvaa Katika Sherehe za Iftar, Haya Mavazi Yame tengenezwa Au Kubuniwa Na Wabunifu Wetu Kutoka Hapa Hapa Tanzania Na Yalionekana Kwa Mara Ya kwanza Katika Stara Fashion Show.
Wengi Walidhani Stara Fashion Show Itakuwa Ya Mabaibui tu Kwa Sababu Ya Mwezi Mtukufu Wa Ramadhani Lakini La Hasha Stara Ni Vazi Lolote Ambalo Lina Stiri Maungo Ya Mwili Wako Na Kwa Kuthibitisha Hilo Wabunifu Wetu Walituonyesha Katika Stara Fashion Show. Wengi Waliona Magauni Wakajiuliza sasa kama Hili Nitavaa Wapi Labda Kwa Sababu Lina Urembo Sana Huwezi Kuvaa Kazini Au Katika Mishughuliko Ya Kawaida, JIbu Unaweza kulivaa katika Mialiko Ya Iftar
Kulikua Na Mengi Lakini Leo Tutakua Na Mavazi Ya Kuvaa Katika Mialiko Ya Iftar
MBUNIFU: Husna Tandika
JINA LA BIDHAA: H&A Dress To Impress
Husna Tandika Ni Mbunifu Kutoka Tanzania Yeye Alitumia Rangi Zinazo Ng’aa Zaidi Kama Nyuepe, Nyeusi Na Waridi Ni rangi Zenye Mvuto Na Nzuri Kwa Kuvaa Wakati Wa Jioni Hasa Kwa Sababu Iftar Ni Jioni. Nyenzo ni Hariri Na Pamba Hizi Zinafaa Hasa Wakati Huu Wa joto Kwa Sababu Zenyewe Ni Nyepesi Na Laini.
MBUNIFU: Faryz Tiny
JINA LA BIDHAA: my_hijjab_my-Stara
Faryz Pia Ni Mbunifu Wetu Kutoka Tanzania Anae Chipukia Kwa Kasi Kwa Kuangalia Picha Zake Hapo Juu Tunaweza Kuona Amebuni Kwa Ajili Ya Watu Wa Rika Zote Wasichana Waendao Na Wakati Na Wamama. Nae Pia Ametumia Hariri Na Pamba ni Kutoka Na Majira Ya Joto Tuliyo Nayo Katika Kipindi Hiki Hapa Nchini. Unaweza Kuvaa Mavazi Hayo Yenye Kupendeza KAtika Mialiko Ya Ifatr
MBUNIFU: Asia Idarous
Asia Alijikita Sana Katika Nyenzo Za Kiafrika Kama Mackezie Na Vitenge, Na Ametumia Rangi Za Kuvutia Mno Inapendeza Kuona Majumuisho Ya Nyenzo Kutoka Kwetu Na Mbunifu Wetu kutoa Vitu Vinavyo Pendeza.
MBUNIFU: Kudrat
JINA LA BIDHAA: KudratFashinable
kudrat Ametumia Rangi Tofauti Tofauti Lakini Cha tofauti Kutoka Kwake Alifikiria Pia Na Urembo Kama Ambavyo Tunaona Ame Ongezea Mkufu Katika Vazi Lake. Ni Vazi Zuri Ambalo Unaweza Ukaenda Nalo Katika Shughuli Yako Bila Wasi Wasi Wowote.
MBUNIFU:Tz_abbaya_fashion_designer
JINA LA BIDHAA: Tz_abbaya_fashion_designer
Tz_abbaya_fashion_designer Amejaribu Kuweka Urembo Na Pia Katumia Nyenzo Zenye Maua, Hii Imeleta Mvuto Katika Mavazi Yake, Pia Unaweza Kuvaa Katika Mialiko Ya Iftar.
Stara Fashion Show Imeandaliwa na Asma Makau Pamoja Na Latifa Makau Ni jambo Zuri kuona Wanawake Wanasaidiana Kufikia Lengo Lao.
picha zime pigwa na mani24
Related posts
8 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 18147 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-11-unayo-weza-kuvaa-katika-mialiko-ya-iftar/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-11-unayo-weza-kuvaa-katika-mialiko-ya-iftar/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-11-unayo-weza-kuvaa-katika-mialiko-ya-iftar/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-11-unayo-weza-kuvaa-katika-mialiko-ya-iftar/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-11-unayo-weza-kuvaa-katika-mialiko-ya-iftar/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-11-unayo-weza-kuvaa-katika-mialiko-ya-iftar/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-11-unayo-weza-kuvaa-katika-mialiko-ya-iftar/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-11-unayo-weza-kuvaa-katika-mialiko-ya-iftar/ […]