Kila binadamu ana kitu ambacho kimepungua au kuzidi mwilini mwake, kuna wale ambao wana matiti madogo, kuna ya wastani na kuna ambao tunayo makubwa, Ikiwa tulisha ongelea kuhusu matiti madogo leo tumeona tutoe Tips za wenye makubwa, mtajiuliza kwanini tumeruka kwenye wastani? kawaida mavazi mengi yanayo tengenezwa huwa yanalenga watu wenye aina fulani ya mwili ambao upo sawia, mfano mtu ambae sio mrefu wala mfupi sana, ambae sio mwembamba wala mnene sana etc. Watu wenye miili ya wastani ni rahisi kupata mavazi yanayo wafaa kuliko wale ambao wamepungua au kuzidi.
Back to the topic, watu wenye matiti makubwa huwa wanapata shida katika mavazi, cleavage inaweza kuzidi, vifungo kutokufunga vyema kwenye blouse na magauni ambayo yanafit kote juu na chini ni bahati kuyapata. Leo tunakuletea Dorathy Bachor ambae alikuwa mshiriki wa big brother Nigeria na ana big boobs, tumetoa few tips kutoka kwake na namna ambavyo zinaweza kukusaidia na wewe.
- The Wrap Dress / Jumpsuit


Wrap dress ni solution nzuri kwako, unaweza ku-adjust kifuani utakavyo lakini pia inaonyesha umbo lako vyema hasa kiunoni.
- The Turtleneck


Pale ambapo hujisikikii kuacha kifua chako wazi basi kuchagua vazi lenye shingo ndefu ( turtle neck ) ni chaguo zuri, hakikisha unavaa ile ambayo kitambaa chake si kizito na pia hakikisha una style vyema vazi la chini kama ni gauni lifunge na mkanda.
- The Scoop Neckline


Kama Unaona Deep V ni too much na turtle neck ni stifling basi vaa square, scoop, au boatneck, plain top ni nzuri kama utavalia jeans au casual look au layering na pieces nyingine.
“Square and scoop necklines are nice for when I want to feel more open, but not go crazy on cleave.
well hizi ni baadhi tu ambazo tumeona Dorathy anatumia kuna mavazi mengi na namna nyingine ambazo unaweza ku-dress up kifua chako, kubwa usikifiche wala kuwa uncomfortable nacho own your body.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-yanayofaa-kwa-wenye-maziwa-matiti-makubwa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-yanayofaa-kwa-wenye-maziwa-matiti-makubwa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mavazi-yanayofaa-kwa-wenye-maziwa-matiti-makubwa/ […]