Hameed the designer toka Meddy Fashion House na boxers collection.
- Kwa muda gani sasa umekuwa ukifanya kazi ya ubunifu wa mavazi?
Hameed: For 8 years nipo ndani ya shughuli/kazi ya ubunifu.
PATA KUMJUA HAMEED ABDUL MBUNIFU KUTOKA MOROGORO
- Great. Wapi ulipata idea ya kubuni boxers za kiume? Why male boxers na si vingine?
Hameed: Wazo la kubuni male boxers lilikuja nilipomtembelea rafiki yangu dukani kwake(anauza nguo za dukani)alikua ameingiza mzigo wa boxers na anapanga dukani. Nami nikajiwa na shauku ya kuziangalia zile boxers. Hapo ndipo lilipo nijia wazo ,na wazo hilo limenijia kwa angles kama tatu hivi:
- Wapi naweza pata pure cotton materials
- Nitawezaje kutofautisha mvuto wa details za materials (mvuto wa rangi)
- Nitawezaje kupata material cotton na laini ili Boxers nitakazo tengeneza ziishe na kero ya kumsumbua mvaaji. Iliniichukua takribani wiki kupata majibu ya maswali niliyojiuliza na nikaanza kuyafanyia kazi.
- And kuna brands nyingi za boxers, why mtu avae Hameed boxers? Zina qualities zipi ziitofautishayo na zingine?
Plus materials gani umetumia and why African prints?
Hameed: Kwa nini mtu avae brand ya @meddyfashionhouse, Kama nilivyodokeza awali kwamba utashawishika kuvaa boxer za brand yangu kwa sababu:
- .Materials ninayotumia ni pure cotton
- .Material ninayotumia ni laini sio ngumu haileti kero kwa mvaaji.
- . Materials ninayotumia yana mvuto na rangi za kipekee (zinavutia kwa mvaaji)
- .Pia ubora wa ushonaji umezingatiwa
- Watanzania wengi wamekuwa nakujivuta katika kusupport kazi ama bidhaa za nyumbani wakisema havina viwango. Hili kama mbunifu walionaje na laweza kutatuliwa vipi?
Hameed: Yes! Changamoto hiyo ipo ya watanzania kujivuta katika kusupport bidhaa za nyumbani. Hii ni Imani iliyojaa kwenye nafsi za watanzania but nowadays tuko vizuri tofauti na enzi za kina baba wa mabibi zetu. Imani tulizorithi,zitaondoka kwa kuondoa Imani za zamani kuwa hatuwezi na hatua viwango.
Mfano wangu halisi ni huu: Mtu /watu wanapita dukani kwangu na kuvutiwa na midoli iliyovalishwa nguo kutoka @meddyfashionhouse na kuingia ndani, unapowambia kuwa hizi nguo tumeshona wenyewe hawataki kuamini kabisa na wengine hudhani kwamba tunawaongopea. Hili tunakoelekea litaondoka. Nina Imani hiyo.
Interview imefanywa na @willibard_jr
Related posts
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…