Wabunifu wanazidi kujaribu kuleta mambo tofauti na kuwa creative katika runways zao, tuliona jinsi Gucci alivyo amua kugeuza runway yake kuwa operation room kwa kuwabesha models vichwa fake vilivyo fanana nao, Mbunifu Moschino nae aliwapaka rangi models wake na kuwa kama cartoons au aliens lakini mbunifu huyu kutoka China yeye ameamua kuwavalisha models wa kiume mimba fake.
Katika London Fashion Week Men’s collection ya mbunifu wa ki-Chinese Xander Zhou wanamitindo wake walipanda jukwaani wakiwa wamewekwa mimba fake,
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mbunifu huyo alipost picha ya model ambae amevalia T-shirt iliyo andikwa New World Baby na ku-caption “At Supernatural, Extraterrestrial & Co., we’re prepared to welcome a future of male pregnancy.”
Wengi wamekuwa wakisema kwamba nia ya mbunifu huyu ni kuleta awareness katika haki sawa kati ya wanaume na wanawake hata katika kubeba mimba
Wakati wengine wakisema hii sio fashion wala sio art ni upuuzi,
Inaweza ikawa sio fashion wala art lakini onething is for sure ni kwamba Xander Zhou ame trend sana kutokana na hii idea na hata wale ambao walikuwa hawamjui sasa wanamjua
well tupe maoni yako je kwako wewe unaona hii imekaaje?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mbunifu-xander-zhou-awavalisha-wanamitindo-wa-kiume-mimba-fake/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mbunifu-xander-zhou-awavalisha-wanamitindo-wa-kiume-mimba-fake/ […]