Jana ilikuwa send off ya Emmanuel Mathias A.K.A Mc Pilipili, wengi tulikuwa tunasubiri kuona hii sherehe ya kuelekea kwenye big day ikianza kwa maana amesha ongea mengi kuhusu harusi yake na namna ambavyo anataka iwe. Wakati wengine wakiwa wanasubiri mashamla shamla sisi tulikuwa tumeweka jicho letu katika maavazi, naam watavaa nini? na kutoka kwa mbunifu gani.
Kitu ambacho tumekipenda ni kwa Mc Pilipili na mkewe mtarajiwa kuchagua wabunifu kutoka Tanzania, Mc Pilipili alivalishwa na kitupe wakati mkewe mtarajariwa amevalishwa na mbunifu Mac Couture.

Mena alivaa Mac Couture, pink column dress yenye lace cape, we love everything about the dress, kuanzia design, urefu, rangi na kila kitu concern yetu ilikuwa amebanwa tu, vingine vyote on point.

Wakati Mc Pilipili yeye alivaa hizi two pieces by Kitupe ni kama Nigerian wear hivi, tumependa rangi, ubunifu pia kitu ambacho tumekiona ni kwamba Kitupe angejaribu kuangalia urefu wa mteja wake kabla ya kumtengenezea hii shirt, lakini pia ingependeza zaidi kama theme ya Mke mtarajiwa na mume zingeendana somehow tunaona kama mke amemfunika mume.

Well afromates tuambie views zako kwenye hii mitoko yao.
Picture credit @shereheyako
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mc-pilipili-mena-send-off-party-outfits/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mc-pilipili-mena-send-off-party-outfits/ […]