Rangi ina nafasi kubwa sana kwenye maisha ya kila siku and the right ones zinaweza badilisha mood yako kabisa zaidi zikiwa ni rangi zinazowaka. So next time unataka kuweka mood yako sawa kwa kutumia mavazi basi mchanganyiko wa hizi rangi upo kwa ajili ya kazi hiyo. Ni rangi nzuri, zinazovutia na kuchamsha. Kama wewe si mvaaji wa rangi basi hili ni jaribio litakalokupa experience mpya na kukutoa kwenye comfort zone.
NYEKUNDU NA PINK
Can you believe it? Yani hizi rangi ni bonge moja ya combo. The pink inajua namna sahihi ya kufanya nyekundu ipop. Utapendeza bila kufanana na crown wala kachumbari hahaa. Usiongezee rangi sasa. Hata accessories zako hakikisha ni za rangi ya nguo au rangi kama nyeusi,dhahabu,silver au kijivu.
NJANO NA NYEUSI
Njano kama njano ni rangi inayong’aa sana tayari. Nyeusi sio rangi ya kung’aa sana lakini ikichanganywa na njano basi inawika sio kitoto. Alafu mtu mweusi na rangi ya njano ni kitu hatari, in short black and yellow ni the perfect match. So usiogope kuvaa ile nguo yako ya njano ambayo uwa unahisi haiendani na rangi nyingi.
BLUE NA KIJANI
Sitakuwa salad jamani? Hapana darling you won’t.. Ila tu usipoongezea accessories kibao zenye rangi mbalimbali. Viatu vyako vyenye rangi iliopoa na accessories kidogo and you are good to go. Blue na kijani ni magic kwa watu wenye uthubutu so jiamini and rock the look
ORANGE NA KIJIVU
Yes, i said. Njano na kijani…oop nimemaanish orange na kijivu. Sio combination unayoweza ifikiria kwa haraka kwakweli lakini ni mchanganyiko wa rangi unaopendeza kabisa. Ni juu yako tu kuamua vazi lipi liwe la orange na lipi la kijivu ila kwangu mimi naona kijivu inapendeza zaidi ikiwa kwenye vazi la chini
Imeandikwa na @style.with.mimie
Kama utajaribu moja ya rangi tulizo zitaja hapo juu usisite kututag kupitia account zetu katika mitandao ya kijamii
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mchanganyiko-wa-rangi-mzuri-utakao-ngarisha-vazi-lako/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mchanganyiko-wa-rangi-mzuri-utakao-ngarisha-vazi-lako/ […]