Wildad ni mwanamziki anae chipukia ambae yupo chini ya Lebo ya The Industry inayo milikiwa na Nahreal na Aika wa Navy kenzo. Wildad ana wimbo wake unao kwenda kwa jina la Get It On ambao una fanya vizuri kwa sasa.
Unapo pita kuangalia kurasa yake ya Instagram (bonyeza hapa kuona) kama ni mtu mwenye jicho la tatu ni lazima utanotice kwamba Wildad si kama wavulana wengine ambao wanajua ukivaa suruali na shirt basi utakua umesha tokelezea, yeye ana jua ku pull out an outfit akapendaza hata kama in a simple way. Na hio ndio sababu kubwa iliyo mfanya leo akawa Man Crush Outfit Wetu of The Day.
The 80s & 90’s tumependa color coordination zime poa kiume yet kapendeza mno
black black black
denim on denim lakini rangi tofauti, this look is calmer with earth colors
the shabba ranks look
nyeupe, nyeusi na brown boys take notes kwa jinsi huyu kaka ana vaa ana weza kuingia popote wakati wowote
tuna penda kwamba vyovyote anavyo vaa asahau ku accessorize na tuna rudia tena rangi zilizo tulia zina weza kukufanya u stand out mara nyingi ni wewe tu na unavyo weza kuji style.
Instagram – afroswagga
Twitter – afroswaggatz
Facebook – afroswaggamag
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…