Kwa sasa inaoneka mitupio (fashion) ndio kitu kinacho trend kila mtu anataka kuonekana smart kuliko mwingine “thanks to our fellow bloggers kwa kupaza sauti kwa ajili ya mionekano ya wasanii wetu” ina onekana sauti ime sikika na sasa wana lifanyia kazi hadi kuamua kushindana lol we are here for this aisee
Dogo Janja ameamua kuchukua muda wake kuwa habarisha wa Tanzania pamoja na wasanii wenzake kwamba ana ukubali muonekano wake na haoni wa kumzidi dar, kupitia Instagram yake Janjaro ali upload picha hizi huku akiamua kuzisindikiza na caption za kwamba kwenye swala zima la fashio yeye ndio mkali wetu
Kwa kweli janjaro huwa ana pendeza lakini kusema kuliko wote dar nzima Janjaro ame fanya research yake vizuri kweli? tuambie kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/me-navaa-kuliko-boy-wako-dogo-janja/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 79476 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/me-navaa-kuliko-boy-wako-dogo-janja/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/me-navaa-kuliko-boy-wako-dogo-janja/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/me-navaa-kuliko-boy-wako-dogo-janja/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/me-navaa-kuliko-boy-wako-dogo-janja/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/me-navaa-kuliko-boy-wako-dogo-janja/ […]