Kama hukusikia habari kwamba Meghan Markle na mumemwe Prince Harry waliamua kuhama kutoka katika royal family na kuanza maisha yao binafsi basi leo ndio tunakujuza. Well katika maisha u-royal kuna vitu vingi unakatazwa kuanzia mavazi, urembo etc mfano:
- Bright Colors Are Necessity For The Queen
- Hats For Women Are Must
- Coats Must Stay On
- Nails Are To Be Kept Subtle
Na nyinginezo nyingi, well hivi karibuni tumeona Meghan na mumewe wakiwa wamerudi London kwa ajili ya kumalizia slate of loyal duties na appearance in honer of the Endeavor Fund, Meghan alivaa blue pencil dress kutoka kwa mbunifu Victoria Bekham, well tulizoea kumuona Meghan akiwa amevalia Navy Blue’s hizi ni zile deep blue lakini safari hii amechagua bright color.

Walionekana tena wakiwa England katika Mountbatten Music Festival at the Royal Albert Hall event in London wakiwa wamevalia red matching assembles Meghan akiwa amevalia red Safiyaa gown ambayo ilikuwa na floor-length cape,na puffed sleeves, amemalizia muonekano wake kwa ku-accessorize na statement pieces ambazo zilimatch na apple red design, alivaa drop earrings kutoka kwa Simone Rocha, Aquazzura pumps na Manolo Blahnik clutch.

Prince Harry also cleaned up nicely for the event, as he donned a red embroidered coat and military regalia. Don’t they look Love-ly?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…