Jana ilikuwa Meghan Markle day ameonekana kuhudhuria sehemu tatu tofauti na zote akiwa amebadilisha mavazi ( waliosema upele umpata asie na kucha seems like the Meghan zimeanza kuota), She slayed those 3 dresses like no one’s business na tunaweza kusema ameweza kumaintain her royalness without being a bore.
Meghan alianza siku yake kwa ku-attend Royal Air Force’s centenary celebration akiwa amevalia gauni jeusi lenye Sabrina neckline, nude pumps na clutch zote zikiwa zimetoka katika brand ya Dior alimazia muonekano wake na tephen Jones fascinator kichwani, simple earrings na no make up makeup look, She looked beautiful.
Masaa machache baadae Meghan alionekana Dublin akiwa na Prince Harry walienda kumtembelea Irish prime minister Leo Varadkar akiwa amevalia gauni ya dark green kutoka kwa mbunifu Givenchy, amemalizia muonekano wake na beige heels, handbag ya brown na nywele alirudisha nyuma, lets say alitoa tu fascinator aliyovaa asubuhi na kubadilisha gauni na viatu na pochi, anyways the dress was perfect for her body.
Wakati jioni Meghan alionekana akiwa ameenda katika garden party hosted by the British Ambassador to Ireland akiwa amevalia black cocktail dress kutoka kwa mbunifu Emilia Wickistead, amemaliza muonekano wake na black pumps na gold & black clutch, huku akiwa ameachia nywele zake na makeup ikiwa kidogo inaonekana,
Tuambie ni outfit ipi kati ya hizi tatu ambayo kwako umeona imempendeza sana?
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/meghan-markle-wore-3-dresses-in-a-day-and-not-one-of-disappointed-us/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/meghan-markle-wore-3-dresses-in-a-day-and-not-one-of-disappointed-us/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/meghan-markle-wore-3-dresses-in-a-day-and-not-one-of-disappointed-us/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/meghan-markle-wore-3-dresses-in-a-day-and-not-one-of-disappointed-us/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/meghan-markle-wore-3-dresses-in-a-day-and-not-one-of-disappointed-us/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/meghan-markle-wore-3-dresses-in-a-day-and-not-one-of-disappointed-us/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/meghan-markle-wore-3-dresses-in-a-day-and-not-one-of-disappointed-us/ […]