Kama mwezi mmoja nyuma tuliongelea kuhusu men choker kuwa zinakuja kwa kasi kama ulikosa bonyeza hapa kusoma, na zime pita siku kadhaa tunamuona Tanzania own stylish men a.k.a bebe wa Vee Money akiwa ame rock choker tena hii ni two in one
We all know Jux ana penda accessories so alivaa hii choker na mkufu mrefu kidogo, hereni, pete,miwani na bracelet
Katika mavazi alikuwa casual na white tee,raba nyeupe pia na suruali ya kaki, Swali ni Je mna i feel hio choker hapo au kazingua?
Tuambie kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-choker-zimefika-tanzania-jux-is-here-for-them/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-choker-zimefika-tanzania-jux-is-here-for-them/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-choker-zimefika-tanzania-jux-is-here-for-them/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-choker-zimefika-tanzania-jux-is-here-for-them/ […]