Well kitambo kidogo nchini Nigeria walikuwa na the Men’s Fashion Week 2017 toka 13th to 15th Oktoba na leo twawaletea runway highlights yaani designers walioshowcase collections zao na kuweza kukonga nyoyo zetu.
Kutoka nchini Rwanda ni designer Moshions ambaye collection yake iliweza kuwa a mixture of his Rwandese culture na a modern African guy.
Kutoka nchini Afrika kusini designer Paledi PALSE pia aliweza kuonyesha collection yake ambayo fabrics nyingi zilikuwa floral yet any man could pull them off
Kutoka nchini Ghana pia designer Quophi Akotua alishowcase collection yake ambayo pia the floral prints zilikuwa zakuvutia, the shirts and pants.
Pia kutoka Ghana kulikuwa na mbunifu mkongwe Abrantie the Gentleman aliyekuja na collection ikiwa na very cool casual yet smart pieces ambazo mkaka anaweza kuvaa katika mazingira tofauti from work outs to office outfits.
Na kutoka Nigeria kwa wenyeji wa fashion week tulijionea wabunifu kama Emele Agbai (@2107Couture) aliyeshowcase some decent African looks zilizovutia wengi.
Pia wabunifu kama Maxivive, Designer 1407 na One Tribe waliweza kuwa na collection za kitofauti kidogo.
Designer Maxivive aliweza kuonyesha a more sportful casual collection including some men’s wear
Pia collection toka kwa one Tribe likuwa ya kitofauti ikiwa na some fresh sporty looks in all shades of brown, rangi ya kahawia.
Na designer 1407 his pieces looked so comfy kuvaa , ambapo one could rock these ufukweni, beach na kupendeza
Well Nigeria Men’s Fashion Week imeisha lakini hatuwezi sahau mavazi maridadi na yakitofauti yaliyooneshwa na wabunifu mbalimbali. Hii ni fursa kwa wabunifu toka Tanzania kuweza kjuonesha collections zao katika platforns kubwa kama hizi pia iwe ni chachu ya mabadiliko na sisi Tanzania wabunifu wetu waweza kuorganise fashion week kama hii iliyospecialize kwa wanaume tu.
Imeandikwa na Willibard_jr
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-fashion-week-nigeria-2017/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-fashion-week-nigeria-2017/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-fashion-week-nigeria-2017/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 65758 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-fashion-week-nigeria-2017/ […]