Phew its about time kaka zetu wanapumua na skinny jeans ilikuwa too much kwa kweli, maana ilifika kipindi unakuta mwanaume kavaa skinny jeans mpaka unajiuliza je damu inatembea kweli mwili maana mishipa itakuwa imebanwa na nguo.
Kwa sasa tumeona trend mpya ni palazzo, hizi ni zile suruali za kuachia kwa hapa kwetu huwa zinaitwa bwanga. Tumependa hii trend kwanza inakupa muonekano wa tofauti lakini pia hii trend ipo very comfortable yaani huteseki.
Watu maarufu wengi tumewaona wakiwa wamevalii hii trend ambapo wengi wao walivalia vintage style. Hii trend si mpya ilikuwa toka zamani lakini kila trend ikirudi huwa inawekwa kwa style ambayo itaendana na wakati tuliopo. Kwa sasa wengi wanavaa hii style colorful.
Diamond Platnumz Juma Jux Jidenna
Wakati wapo ambao wanavalia sio colorful sana, well as we know kila mtu ana style yake kuna ambao wanapenda kuwa coloful na wale ambao ni low key japo Diamond yeye ametuonyesha ambavyo unaweza kuvaa trend hii in two ways colorful na monochrome
Diamond Platnumz Kizz Daniel Diggy Simmons
Well Afromates let us know your thoughts on the trend.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…