Siku ya engagement yako ni siku ambayo tunadhani kila mwanamke anatamani aonekane amevaa na kupendeza, kuna zile ambazo huwa zinaandaliwa mnashona na sare kabisa, hizi sizo tunazo ongelea hapa, tunazo ongelea hapa ni zile za kushtukizwa yaani unaambiwa labda “babe vaa tunatoka dinner” ukifika huko unakutana na surprise ya kuvalishwa pete.
Huku kukiwa na camera man’s labda na baadhi ya ndugu, kama umezoeana na mpenzi wako na labda sio mpenzi wa kuvaa sana unajikuta umevaa zako simple labda jeans na tee au kijigauni tu cha kawaida wakati mwenzio kapigilia suit au very elegant look, na akakutoa hapo nyumbani mpo hivyo hivyo kwenda kwenye hio event akijua kabisa mnaenda ku-engage.
As much as wewe mwanaume umependa uonekane umependeza na mwanamke ndivyo hivyo you could at least tell her babe leo dress to kill nataka upendeze au kumchagulia nguo ya kuvaa ili asijisikie vibaya picha zenu za engagement yeye hakupendeza, tumeliona hili kwa wasanii maarufu wa kiume mmoja kutoka Kenya na mwingine Tanzania ambao wao walivaa wakapendeza huku wanawake wao wakiwa kawaida.
February mwaka huu tulimuona mwanamuziki kutoka katika kundi la sauti sol Kenya Bien-Aime Baraza akiwa ame mu-engage mchumba wake Chiki Kuruka, Bien-Aime Baraza he looked spot on black suit, perfect shoes ameendana na ambacho alikuwa anakifanya, lakini back to Chiki Kuruka yeye alivaa tu jeans, boots na blouse nyeusi, you could real spot the difference kwenye outfit tungependa kumuona Chiki nae akiwa amedress accordingly lakini kwa sababu it was a surprise walishindwa kumwambia avae vizuri.
Wakati kwa Tanzania tumemuona mwanamuziki Harmonize akiwa ame mu-engage mchumba wake Sarah, same as Bien-Aime Baraza, Harmonize alipendeza kwa kuvaa shirt nyeupe, suruali nyeusi, akiwa ameongezea na acessories kama bow tie, miwani, hereni etc, while Sarah yeye alikuwa in her usual boutiques outfit, hapa akiwa amevaa Fendi inspired black outfit.
View this post on InstagramIf you think she said no …!!! 😋 💍
A post shared by KONDEBOY (@harmonize_tz) on
tunadhani hili linahitaji kuzingatiwa na kuangalia mara mbili, let your woman slay too jamani to think that hizo picha mtakuja kuonyesha wajukuu zenu.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-please-let-your-lady-slay-on-her-engagement-day/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-please-let-your-lady-slay-on-her-engagement-day/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-please-let-your-lady-slay-on-her-engagement-day/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-please-let-your-lady-slay-on-her-engagement-day/ […]