Trend ambayo kwa miaka ya karibuni tumejionea kwa wakaka wengi ni pale wanapovaa socks na sandals ama slippers ambapo ina hisia tofauti toka kwa watu mbalimbali katika mitindo. Wanamuziki wengi tumejionea wakivalia hivi styling it with a comfy pair of sweta pants, track suits ama kaptura.

Miaka ya zamani iliozoeleka na kuonekana kwa wazee wakivalia hivi yaani outfit being paired na socks plus sandals. Ila miaka ya karibuni fashion trend hii ilirudi na tukijionea wakaka wengi wakiirudia. Well ina mixed reviews hadi sasa ambapo baadhi kutoikubali na kuiona sio fashion yenye kuweza kukubalika na wengi. Wengi waiona kama ni a lazy fashion trend ambayo mtu yampasa kuvaa akiwa ndani, nyumbani na sio nje.
Well mjadala huu uliweza zungumzwa na tuiitayo biblia ya mitingo yaani “Vogue magazine” na maoni yao ni kuwa, waliizungumzia fashionntrend hii kuwa a bit risky mabayo sio kla mtu itamkubali ila walielezesa kuwa uiangaliapo kwa ukaribu ni kwamba yawapendeza wengi maana yawafanya kuwa comfortable.

Nchini kwetu Tanzania tuliweza ona fashion trend hii ikikubalika sana na wanamuziki wengi hasa toka Wasafi Classic. Nchini Imetawala sana as a quick go to fashion statement ambapo mtu akitaka safiri huvaa hivi ili kuweza kubakia comfortable.

Ila pindi utakapochagua kuvaa the socks and sandals ama slippers trend, baahi ya outfits ambazo waweza style nazo na maeneo stahki ya kuvaa hivi. Pindi unapobarizi beach on a vacation, ama trying to find comfortability safarini, nyumbani na sio sehemu za kazi, waweza valia a breezy track suit, kaptura ama baggy pants pamoja na loose vests, shirts ama t-shirts
Ila kiujumla nini amoni yako juu ya this fashion trend? Comment below.
Imeandikwa Na @willibard_jr
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-socks-and-sandals-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/men-socks-and-sandals-trend/ […]