December ni mwezi wa mapumziko, wengi hutumia mwezi huu kukaa na familia zao, lakini pia shopping na slayage huwa zinafanyika sana. Hii ni baadhi ya mionekano tuliyoiona toka mwezi huu uanze na ikatuvutia
Msanii wa bongo fleva Faustina Charles Mfinanga A.K.A Nandy akiwa amevalia orange dress kutoka kwa mbunifu @mahaumes , Hii dress ilikuwa debuted katika Swahili Fashion Week mwaka huu. We love the design ya gauni, the color is perfect. Nandy alichaguwa kuwa minimum na vitu vingine na kuiacha gauni iongee.

Wema Sepetu is making a slow coming back kwenye mavazi, as we all know kipindi cha katikati alikuwa lost kutokana na upunguaji wa mwili ( we all get confused when this happens). Tumemuona akiwa stunned in red Elisha Red Rabel dress, tumependa makeup na nywele pia, call her Mrs. Claus.

Kama hatujawahi kuwaambia statement sleeves zipo kwenye trend kwa sasa basi let us inform you ” Statement Sleeves Are Trending”, Lavidoz gave us snow and mountains kwenye hii all white outfit, love how she accessorize the dress.

Hamisa Mobetto dripping in sequins, Hamisa amesheherekea siku yake ya kuzaliwa hivi karibuni, na alivaa hii gauni ya sequin yenye high side slit kutoka katika brand yake ya Mobetto Styles. Well what a way of entering new age than by glitter it?

Kama ambavyo tumesema statement sleeves zinatrend kwa sasa, mwanamitindo Julitha Kabete tulimuona kwenye hii orange dress yenye statement sleeves, we loved it

Kwa gentlemen nao tulikuwa na Kelvin, Rio Paul, Noel Ndale pamoja na Cyrill Kamikaze hawa tumewaona wamependeza sana kwenye hizi outfit zao.


Well Afromates who are you loving so far?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…