Oh Well Oh Well, seems like fashion Santa ameitembelea Tanzania mapema kabisa, week hii tumeona watu maarufu wakiwa wamependeza mno. Na wote walionekana kuchagua jumatano kama siku yao ya ku-post mitoko yao.
Former Miss Tanzania Nancy Sumari alionekana kwenye hii sequin dress, its a full meal situation, Nancy ni moja ya watu maarufu wanao represent short hair community tumependa kwamba ameonyesha huitaji nywele ndefu kupendeza.

Makeup artist Lavie Makeup in Elisha Red Label Dress, Lavie ni mara chache kumuona kwenye mitandao mara nyingi huwa anapost kazi zake lakini katika hizo mara chache ambazo huwaana jipost ana hakikisha ana kitu ambacho ni worth kukipost, look at her flaunting curves, shoulders and serving face.

Lulu Diva in Fatuma Hasha dress tuseme hii gauni ni nzuri mno, namna ambavyo imepangiliwa rangi, volume ya mermaid chini, Fatma Hasha really took her time to create the dress.

Former Miss Tanzania Lillian Kamazima showed us how to rock gold in wedding lydia dress one thing kuhusu Lillian ni slayer ambae huwa hanaga kelele, mara nyingi anakuwa simple hasa kwenye makeup na accessories.

Well Afromates tuambieni nani amekuvutia zaidi?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…