Ni jumatatu nyingine tena kutoka katika mwezi wa tatu ambayo huwa tunakuletea ile mionekano yote ya watu maarufu kutoka week hio, tunaweza kusema mambo yalikuwa mengi sana katika week hii, amsha amsha zilikuwa nyingi, watu maarufu mbali mbali wali grace timelines zetu za mitandao ya kijamii na looks zao, na hizi ndizo tulizo zi-spot na maoni yetu
Jacqueline Wolper In Statement Kitenge top, huwa tunajua Jacqueline ni moja kati ya watu maarufu ambao unaweza kuwahesabia ukisema stylish celebrities wa Tanzania, she is a show stopper, week hii tumemuona katika hii look ambayo yuliipenda sana. The statement kitenge top was everything. Mara nyingi tunasema little details zinaweza kubeba muonekano wako vyema kabisa yeye kuongezea fishnet socks kwenye hii look yake ilikuwa a stylish move, loved it.
Count on Lavidoz to serve you classic looks, week hii tumemuona kwenye hii nude statement top, akiwa amevalia na blue jeans amemalizia na nude pumps, Lv bag, miwani na accessories ndogo ndogo.
New body comes with new slayage, Linah Sanga served us this colorful look and we are here for it.
Mwanamuziki Cyrill Kamikaze gave us animal print moment na hii leopard shirt, ambayo alimalizia na black trouser, black shoes, na accessories ndogo ndogo, he can truly enter the MCM Chat.
Well afromates hizo ndizo looks zilizotubariki kutoka week iliyopita je ipi imekuvutia zaidi?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…