Ni week nyingine tena tumeanza tukiwa tumetoka mapumzikoni, oh well oh well kama kawaida huwa tuna report yetu ya kila mwisho wa week ya mtu maarufu gani alivaa nini na je alipendeza au lah? Na hii haifanyiki kujifuraisha au kukosoa watu hapana nii ni ku acknowledge wale wanao fanya vizuri na kuwapa motisha wale ambao bado wanaonekana kuyumba kwenye swala zima la mitindo, as we all know katika radar ya fashion Tanzania tupo nyuma sana ukiwaangalinganisha na wenzetu kama Nigeria, South Africa na Ghana. Tungependa sikumoja tufike huko na hata kuwapita well kwani ku slay sh’ngapi? na haihitaji hata kutumia pesa nyingi ni kujua tu kujipangila.
Enough with the stories tuanze na wale waliofanya vizuri week iliyopita
- Julitha Kabete Serving Looks For The Gram
Moja kati ya viungo tegemewa kabisa hapa nchini kwetu kwenye swalazima la mavazi, Julitha ameonekana week in this creamy dress lililo m-fit vizuri kabisa, ukiongelea making a statement kwa gauni tu ndio hii, the dress says it all kuanzia rangi mpaka design kwa kuliona hilo Julitha aliamua kuliacha liongee akaamua kuvaa clear heels, akamalizia na bangili za gold na hereni huku usoni akiwa na neutral tones makeup & hair well laid. Love this look to the moon & back, slay honey.
- Mwamvita Makamba In Bold Colors
Mwamvita aliamua kuwa colorful na hii outfit yake tulichopenda zaidi ni namna alivyo cheza na rangi na trends tulisha ongelea kwamba pastel suits zipo kwenye trend lakini pia kwa sasa bold colors zina trend sana, Mwamvita yeye ame combine hizi trends mbili kwa pamoja and the outcome was perfect, well she chose to be bold kwa kuongezea accesorieskama miwani na pearl necklace amemalizia muonekano wake na nude shoes na red lipstick. A Rainbow.
- Suit Set Zipo Kwenye Trend Na Sasa Tunazivaa Katika Rangi Za Pastel
- Neon Colors Are Living Their Best Life On The Streets Right Now
- Victoria Kimani Stopping Tax In African Prints
Victoria Kimani kutoka Kenya ametuonyesha namna ambavyo unaweza kuchanganya African & western fashion na ukapendeza kuendana na wakati, tumependa hii african print dress ya mustard yellow na black ameongezea fishnet stockings akamalizia muonekano wake na ankle boots na beret nyeusi, so fashionable.
- Juma Jux In Chidy Design Suit
Mwanamuziki Juma Jux huyu huwa hatuangushi, yeye na mpenziwe ni fashion couple goals they know how to carry an outfit week hii tumemuona Juma katika mionekano mingi ila huu ndio ulio catch attention yetu, amevaa suti kutoka kwa mbunifu chidy design ambapo caot ndio limebeba muonekano wote yaani attention yetu yote imeenda kwenye coat perfect color pop. So fresfy so clean.
Kwa ambao wameharibu week hii ni
- Harmonize In Double Denim Outfit
Ni sawa kabisa kuwa extra ila uwe extra na upendeze lakini unapokuwa extra halafu unakuwa ume haribu ni inakuwa uharibifu mara dufu, Harmonize needs to learn maneno ya less is more maana extra haimfai tumesha sema mara nyingi ana jaribu sana mwishoe ana haribu too much is harmful blaza take it slow mdogo mdogo utafika.
Unaweza kutuachia comment zako hapo chini kutuambia nani ambae amekuvutia zaidi katika list yetu hii
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…