Tulishawahi kuongelea kuhusu watu maarufu kuvaa fake designers, na tulipata maoni yenye pande mbili kuna ambao walisema ni sawa na kuna ambao walisema si sawa. Well kuvaa fake designers kunaweza kumshushia msanii kwa kiasi kikubwa pale tu umma utakapo notice na kumuweka hadharani kwamba alichovaa ni fake.
Well week mbili hizi tumeona Msanii Diamond Platnumz na Harmonize wakidakwa kwa kuvaa saa fake ambapo account ya fake watch buster waliwapost kama wamevaa saa za brand fulani ambazo ni fake
Imeonekana hili swala limemfikia mwanamitindo Miriam Odemba na Actress Lilo Aderogba kutoka Nigeria ambao hawakusita kutoa maoni yao kuhusu swala hili la watu maarufu kuvaa vitu fake ambapo wote wawili walionekana kuwa na mawazo yanayoendana kwamba ni aibu kubwa kwa mtu maarufu kuvaa fake designers.


well Afromates tunauliza tena je ni sawa au si sawa kwa watu maarufu kuvaa fake brands?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/miriam-odemba-lilo-aderogba-wawatolea-uvivu-wanaovaa-vitu-fake/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/miriam-odemba-lilo-aderogba-wawatolea-uvivu-wanaovaa-vitu-fake/ […]