Unaweza usikumbuke mara ya mwisho umevaa skirt ya kitenge lini, au kukumbuka kumuona mtu anavaa na hii ni kwa sababu wengi kwa sasa wana shona styles za magauni,suruali, jumpsuit na pants. Skirt zime sahaulika kabisa lakini guess what? kuna wabunifu ambao bado wana utayari wa kuendelea kuonyesha ubunifu wao katika kubuni vitu tofauti na kuvivaa kisasa mpaka ukavipenda na kutaka kurudi kuvaa, Leo tumekutana na page instagram inayo itwa @tutafii hawa wanabuni mavazi mbalimbali a kitenge ikiwepo skirt na wana zistyle vizuri sana
High waist Ruffle skirt ikiwa imekuwa styles na sweater na open heels ame ongezea na ku accessorize na miwani na statement earrings, we must say this is a good mix between modern and traditional
Ruffle skirt ikiwa imekuwa styled na over the knee boots na sweater “winter style” loving this style.
if this isn’t style we don’t know what is, we love the color coordination, well styled. A statement Ruffle skirt over the shoulder white top na ankle white boots amemalizia muonekano wake na glasses na clutch nyeupe (slayinggg)
Ruffle skirt amechagua colorful top to make a statement akiwa amemalizia muonekano wake na socks boots na miwani, run way on the street look.
kwa mishono mingine bonyeza hapa
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mishono-bomba-ya-sketi-za-kitenge/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mishono-bomba-ya-sketi-za-kitenge/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mishono-bomba-ya-sketi-za-kitenge/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mishono-bomba-ya-sketi-za-kitenge/ […]