Fashionista’s kama wamerudisha mapenzi yao kwenye kitenge karibia kila page ya fashionista tunayo itembelea tunakutana na picha wamevaa vitenge & tunapenda tunacho kiona, sababu kubwa ikiwa ni kutangaza vya kwetu pia lakini pia kupata kujua mitindo mipya na jinsi ya kustyle vitenge vyetu, leo tunakuletea inspiration kutoka kwa fashionista’s mbalimbali unaweza kuiga mshono
tumekutana na mwanamuziki Tiwa Savage akiwa amevalia Ruffle kitenge dress akiwa amevalia na Gucci shoes na amebeba Dior cross over bag
theladyvhodka yeye alivaa mixed prints, ambapo amevaa top ya kitenge na floral skirt akiwa amemalizia mtoko wake na kiremba cha kitenge, open heels na amebeba pochi ame accessorize na miwani, hereni na pete na bangili, she is a risk taker kama upo vizuri katika kupangilia rangi hii inakufaa una stand out.
therealrhonkefella yeye ndio ameonekana hii week amei dedicate kwenye vitenge kila picha anayo itupia amevaa kitenge tumependa hizi tatu
Hii Puff sleeves jumpsuit ambayo unaweza kuvaa kwenye mitoko yako ya hapa na pale the jumpsuit is goal yenyewe tu ni statement piece una turn heads
Ruffle kitenge blouse ambacho amevaa na skirt ya kijani akamalizia mtoko wake na burgundy handbag na viatu huku akiwa ameacessorize na miwani na big round earrings
Ruffle on Ruffle
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mishono-ya-kitenge-kutoka-kwa-fashionistas-2/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mishono-ya-kitenge-kutoka-kwa-fashionistas-2/ […]