Tonto Dikeh ni moja kati ya majina huwezi acha kuyataja ukiongelea kuhusu movie industry ya Nigeria, wengi tumemjua kutoka katika uigizaji, ukiachana na kuwa mzuri katika fani yake Tonto ni mzuri pia katika mavazi, huwa anajipatia kutokana na umbo lake na style yake.
Tonto pia ni mvaaji mzuri wa vitenge kinacho tuvutia zaidi kutoka kwake na fundi wake ni namna ambavyo wana ongezea touch’s za tofauti katika vazi hili la kitenge leo tunakuletea mishono 6 kutoka kwake ambayo unaweza kuiiga ukaendea kwenye kitchen party, traditional wedding’s etc.
Kwa wale ambao tunapend kuvaa peplum tunajua ni shida namna gani kupata mtindo wa juu, well hii ni michache kutoka kwake tuliyoiona unaweza kuiga.

Mix & match kwa wapenzi wa ku-mix na kumatch outfit zetu tuka stand out basi mishono hii inaweza kukufaa.

Well tuambie katika mishono hii sita ni upi ambao umeona unaweza kujaribu?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…