Tumeanza mwezi wa April na we can already see mwezi huu umeanza ki-Africa zaidi, watu maarufu wengi wameonekana kuvaa mitindo ya ki-Africa. Kitenge kimekuwepo kwa miaka na ni mara chache unaweza kuona watu maarufu wamevaa kitenge tena ikiwa kwa mfululizo lakini week hii imeonekana kitenge kimechukua sehemu kubwa katika mavazi yao.
Tumemuona Wema Sepetu akiwa amevalia hii kitenge mermaid dress kutoka kwa mbunifu @chapa1collection , The dress itself ni statement amemalizia muonekano wake na lemba aina ya gere na nude makeup,you can real rock this dress kama that slayer wedding guest au hata ikatumika kama gauni kwa ajili ya bibi harusi katika kitchen party yake.
Mwanamuziki Cyrill Kamikaze yeye alishow up in kitenge shirt, giving us that dope African prince look, amemaliza muonekano wake na suruali nyeusi, viatu vyeusi na miwani akamaliza kabisa with his perfect smile.
Wakati Jacqueline Mengi yeye alionekana akiwa amevalia hii statement kitenge top kutoka kwa mbunifu Jacqueline Wolper amemaliza muonekano wake na skin jeans nyeupe na white pumps,
Well that’s how we start our week, tag us kama utavaa kitenge for feature on our social media accounts.
Related posts
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…