Inawezekana una kitenge chako hujui ushone nini au una event inakuja na sare ni kitenge na bado hujajua mshono gani ushone, leo tunakuletea mishono mitatu mikali kutoka kwa Jojo Gray, Elizabeth Michael na Muna Love
Muna aliserve akiwa amevalia hii mermaid dress kutoka kwa Allie Clothing, tumependa namna ambavyo wame mix-match kitenge na material nyingine, unaweza kuvaa hili vazi kama wedding guest au hata kwenye red carpet.


Jojo Gray served akiwa amevalia hii high slit dress ya kitenge aliyomix na lace corset, amemalizia muonekano wake na kiremba, unaweza kuvaa hili vazi as a wedding guest au kwenye kitchen party.


Elizabeth Michael corset skater kitenge dress, hii kwa wale tunapenda kuonyesha assets zetu inafaa kwenda kwenye event kama kitchen party au zile events za kina mama (kitchen party gala etc)


Tuambie mshono upi umeupenda kati ya hii?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…