Jihan amesha fika Philipines zamani kwa ajili ya mashindano ya Miss World Universe na katika vazi ambalo lilikuwa lina tupa mawazo basi ni vazi la Taifa kwa sababu tunajua Nchi yetu hatuna vazi linalo tu- introduce lakini Kudos kwa mbunifu aliye buni vazi hili kwa sababu ame jitahidi mno, hatukutegemea
National costume au vazi la ubunifu la kitaifa limebuniwa na @talented_designer_diana_magesa Diana Magesa Made of recycled bottles and minerals with hand painted Tingatinga art on the costume
tumependa how colorful vazi lime tengenezwa, tume penda idea ya recycled bottles na mneona the boots? we are in love with the creativeness.
keep voting for Jihan kwa ku download application ya Vodi au kutumia mtandao wa twitter post picture yake na andika #missuniverse #tanzania
Kuwasiliana nasi tuandikie
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/miss-universe-tanzania-jihan-dimack-ndani-ya-vazi-la-taifa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/miss-universe-tanzania-jihan-dimack-ndani-ya-vazi-la-taifa/ […]