Mfahamu Mwanamitindo anayeiwakilisha Tanzania katika fainali za Mister Model World Wide 2019. Thom Nguka mwenye umri wa miaka 26 ni mwanamitindo (model) anayefanya vizuri katika tasniia ya mitindo akiwa chunk ya usimamizi wa Pulse Models Management toka nchini Afrika Kusini. Pia nchini tumemuona katika majukwaa ya mavazi ikiwemo Swahili Fashion Week na kwa mbunifu Ally Remtullah.
Well tumepata nafasi ya kuzungumza naye juu ya ushiriki wake katika shindano hili la Mister Model World Wide 2019 ambapo fainali zake zitafanyika December, 2019 DelhI, nchini India.
AFROSWAGGA: Ulipata vipi nafasi ya ushiriki katika shindano hili la Mister Model World Wide 2019?
THOM: 1: Well nilipata chance ya kushiriki Mister Model World Wide kwa Mtanzania mwenzangu aliyenitumia link niweze kuapply, nikafanya hivyo. Wahusika waliangalia vigezo na kuona nafaa hivyo kuchaguliwa kuwa mwakilishi toka Tanzania kama Mister Model World Wide Tanzania.

AFROSWAGGA: Ni vipengele vipi ambavyo mtachuana katika shindano hili?
THOM: Hapa kuna categories tofauti ambazo ni Best runway catwalk, swimsuit competition, national costume pamoja na online social media challenge.
AFROSWAGGA: Juu ya social media challenge, Watanzania wanaweza shiriki vipi kukusupport?
THOM: Watanzania wote wanaweza nisupport hapa kwa kupiga kura. Hapa ni kwa kuingia page ya Mister Model World Wide IG: @mistermodelworldwide Facebook: Mister Model World Wide nakucomment kwenye picha yangu ya ushiriki kwa kuandika #mistermodelworldwide pia wanaweza kurepost katika pages zao, Instagram na Facebook stories ili watu wengi zaidi waweze ona na kunisupport zaidi.

AFROSWAGGA: Maandalizi kwako yanaendeleaje? Pia kipengele cha national costume umejipanga vipi?
THOM: Kwa sasa bado maandalizi. Na kuhusu swala la national costume, kampuni/mbunifu toka nchini ya mavazi asilia ambayo ingependa kushirikiana nami hii hi fursa kwao, nawahitaji kwa wingi maana muda muafaka ndio huu.
Interview Done By @willibard_jr
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mister-model-worldwide-interview-with-thom-nguka/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mister-model-worldwide-interview-with-thom-nguka/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mister-model-worldwide-interview-with-thom-nguka/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mister-model-worldwide-interview-with-thom-nguka/ […]