SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

MITINDO YA KIUME KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
Mitindo

MITINDO YA KIUME KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI 

Tumezoea kuona wanawake pekee wakivaa vizuri na kupendeza katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Wanaume wachache sana wanao jua kupangilia mavazi yao wakapendeza katika Ramadhani. Wengi wao wamezoea kuvalia  kanzu nyeupe au suruali kwa sababu zinavuka magoti mara nyingine hupendelea kuvaa kanzu kubwa kuzid miili yao, Kasumba ilyojengeka miongoni mwa lio wengi nikwamba  mwanaume hatakiwi kupendeza, la hasha kila mtu ana pashwa kuwa na muonekano wa kuvutia awe mwanamke au mwanaume, mtoto au mtu mzima wote wanatakiwa kupendeza.

Tips chache za nini mwanaume avae ili aonekane wa kisasa na kupendeza katika kipindi hiki cha Ramadhani

KANZU ZA RANGI TOFAUTI NA ZINAZO KUTOSHA

Imezoeleka kanzu nyeupe pekee ndo ana takiwa kuvaa mwanaume. Siku hizi mitindo inakua ubunifu unaongezeka, zimebuniwa kanzu za rangi tofauti tofauti na zenye nakshi nzuri. Kwa mwanaume mweupe anaweza kuvaa kanzu nyeusi au ya rangi ya buluu iliyo kolea. Kwa mweusi anaweza kuvaa nyeupe au kijivu. Hakikisha ina kutosha na kuendana na mwili wako sio kwa sababu kanzu pana ukanunue hata ambayo haikutoshi haito pendeza. kanzu ikivaliwa na makobazi mazuri masafi ikiongezewa balagha shia na koti inayo endana na kanzu basi utapatikana muonekano mzuri kabisa.

0e2cb22f1cabbc5162a374f867e5bbf9

1f5009d9521ccb1cd378d59715734d40

 

KURTA (KANZU FUPI YENYE SURUALI YAKE)

Siku hizi zipo kanzu fupi zilizo na suruali yake kwa ndani ambazo pia zimebuniwa zipo za rangi tofauti tofauti, pia rangi tofauti tofauti inategemea na uhitaji wa muhusika na isiachie wala isibane sana, mara nyingi wanaume hupenda kuzivaa bila ya kofia lakini vyovyote vile zinapendeza

indian_wedding_wear_kurta_pajama_for_mens-6

 

00364

KIKOI/MSULI

Hivi huvaliwa hasa na wakina baba watu wazima na hasa wakiwa ufukweni, lakini pia vinaweza kuvaliwa mtaani na shati la mikono mirefu, makobazi na balaghashia.

kikoy

 

Related posts

2 Comments

  1. สร้างเพจ Facebook

    … [Trackback]

    […] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitindo-ya-kiume-katika-mwezi-mtukufu-wa-ramadhani/ […]

  2. เด็กเอ็น

    … [Trackback]

    […] There you can find 75158 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitindo-ya-kiume-katika-mwezi-mtukufu-wa-ramadhani/ […]

Leave a Reply