Kuna mitindo mingi ilikuwepo 2015 ilishika trendy sana lakini imetosha sasa tuvuke 2016 na vitu vipya hii ni baadhi tu ambayo tumeona enough is enough iishie huku huku
Distressed Jeans/ Suruali Za Kuchanwa chanwa
Mwaka 2015 zimevaliwa sana si na wa kiume wala wa kike imetosha tupate staili nyingine ya jeans wengine tulikua tuna zichana wenyewe na wengine zilivuka mipaka. 2016 tuingie na staili nyingine tafadhali
Dressy Sweatpants/Kuvaa suruali za mazoezi kama mtoko
Hii nayo 2015 ime trend sana wengine tulivaa hadi na high heels tafadhali 2016 usiivae imepitwa na wakati na sio tu kupitwa na wakati haivutii pia. sweatpants ime buniwa kwa ajili ya mazoezi na nguo za mitoko zina julikana pia.
Sheer Dresses a.k.a. Naked Dresses/ Nguo za kuonyesha miili
Hizi jamani zibaki tu 2015 zimekua too much mwishoe tutabaki kama tulivyo zaliwa zina onyesha mno, tulizo ziona zina tosha, zilivutia na tulipendeza basi yaishe huku huku.
Waist-trainers/ Mikanda ya Kupunguza Tumbo
Mizuri ina tupa umbo namba nane lakini haimaanishi tupo salama, zina madhara makubwa kama kweli unataka kupendeza tolea jasho fanya mazoezi badala ya madhara mwili wako utakua salama na bora zaidi kuliko kuwa mvivu na kuvaa hii mikanda kisha ukapata madhara, imeuzwa sana 2015, 2016 tusiwatajilishe watu kwa kununua hii mikanda.
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitindo-ya-kuiacha-2015-isivuke-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitindo-ya-kuiacha-2015-isivuke-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitindo-ya-kuiacha-2015-isivuke-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitindo-ya-kuiacha-2015-isivuke-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitindo-ya-kuiacha-2015-isivuke-2016/ […]