ijumaa imesha fika na ina julikana ikisha fika ijumaa basi tuna waza kitu kimoja tu BATA, twende wapi tuka spend naam na hivi ni mwisho wa mwezi tuna weka tu heshima bar, ila sasa uta heshimikaje kama huja pendeza? hapa ndipo linapo kuja swala zima la mitoko Utoke Vipi? usiumize kichwa maana hio ni kazi yetu sisi kukupa ideas za nini uvae na huwa tuna kupa ideas kutoka kwa wakali wa hizi mambo, na huwezi kuwataja halafu umuache mwanadada Millen Maggese International Model ambae aliwahi kuwa Miss Tanzania.
Haya tuangalie hizi kutoka kwake na uone ipi inaweza kukufaa
Kama huendi sehemu inayo hitaji heels au hujisikii kuvaa heels basi hio little black dress na gold ballet shoes itakufaa sana una weza ku switch ukatoa miwani na iko kipochi ukabeba clutch
Nude bandage dress na gold & white heels
Una weza ku show off maungo yako kwa kuvaa black crop top, min-skirt na lace up heels
Hapa pia una weza ku switch mkoba na miwani
hope tume kusaidia cha kuvaa kwa maoni zaidi tembelea account zetu katika mitandao ya kijamii
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Instagram – afroswagga
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…