Mstari wa kora ya shati lako usiwe mrefu zaidi ya Inchi4 kutoka kwenye mstari wa shingo yako
Usivae Nguo ya mikono mwembamba sana hata kama una vaa kata mikono hakikisha kuna vijimikono at least vinaonekana
ukivaa jeans hakikisha ume vaa na kitu ambacho kina fanya uonekane uko official kama Kikoti au viatu vinavyo endana na kazini
Kama utavaa nguo ya kuonyesha sana ya juu (top) basi vaa kikoti kwa juu ili kuficha maungio yako kuonekana
Kama ni skirt fupi hakikisha ufupi kwenda juu hauvuki magoti na kwenda chini ni chini kidogo ya magoti
kama utataka kuvaa nguo zenye maua maua hakikisha una vaa na shati au suruali yenye rangi moja, usichanganye sana nguo
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitoko-ya-ofisi-do-dont/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitoko-ya-ofisi-do-dont/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mitoko-ya-ofisi-do-dont/ […]