Ripped jeans ni zile jeans zilizo chanwa chanwa magotini na hii ndo aliyo itinga Kanye West katika show ya Balmain huko Paris, ambapo kuna Paris Fashion Week. Tumesha waona watu maarufu wengi wakiume wakiwa katika Ripped jeans watu kama Chris Brown, Pharell Williams, na wengine wengi lakini hii ya Kanye kidogo imevuka mpaka. Ripped jeans za kiume kidogo zina kuwa na stara yani zina chanwa kidogo tu magotini lakini ya Kanye imeraruliwa hadi mapajani na inaonekana kama Ripped Jeans ya mkewe Kim Kardashian japo hatuwezi kusema wame azimana maana ya Kim ni ya blue wakati Kanye ni nyeusi, Je wewe Fashionista mwenzetu unaonaje? imezidi au kawaida ndio mambo ya haki sawa na Fashioooooon?
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mmh-kanye-west-ndani-ripped-jeans/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mmh-kanye-west-ndani-ripped-jeans/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 68512 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mmh-kanye-west-ndani-ripped-jeans/ […]