Kama wewe ni mpenzi wa mitindo hili jina si geni kwako lakini kama unafuatilia ila sio sana unaweza ukawa hujamjua anaitwa Lorraine Marriot sisi tunamuita kinyonga Lorraine ni mpole sana lakini anabadilika na kuwa tofauti katika kazi yake (she has that Michael Jackson Character), 2013 alishinda first runner up Tanzania top model,2014 aliingia katika Miss grand international Tanzania na alifika katika level ya top 20 national costume,
2015 hapa ndipo tulianza kumjua alishinda Miss universe Tanzania na akachaguliwa katika Missology Wordwide kama top hot picture na kuchaguliwa kama African Barnie wa mwaka 2015,
unaweza kuona jinsi gani ana potential tumepata nafasi ya kuzungumza nae na haya ndiyo mengine mengi ungependa kuyajua kutoka kwake,
Afroswagga: Umekua Kimya Baada Ya Miss Universe kuna kitu tukitegemee au umeamua kuwa low profile?
Lorraine: Nina vitu ambavyo nategemea vifanyike kazi kadhaa na program tofauti lakini nimeamua pia kuwa low profile #mambo ni mengi siku hizi
Afroswagga : Umekua model kwa sasa tuambie ni kitu ambacho ulikua unakipenda?
Lorraine: No,I have always been a model before becoming a beauty queen na ndo kitu ambacho kilinivutia. Yes modeling nikitu napenda kufanya
Afroswagga : Nani Ana kuinspire kufanya kazi umodel?
Lorraine: As per growing up nilikuwa naambiwa nafaa kufanya urembo but nilivyo endelea ndo nikiwa naona models wakubwa zaidi kina Tyra banks wakati ule wa Nokia face of Africa
Afroswagga: mbunifu mkubwa ambae ungependa kufanya nae kazi?
Lorraine : Mbunifu oh lord I think all the great ones Tom ford,Oscar de la renta, zac Posen, Rihanna,Kanye , Victoria secret 🏽 and many many more
Afroswagga : umeshapata international modelling gigs Kama ndio tuzitegemee lini?
Lorraine : International gigs not really but am planning for some tuombe uzima
Afroswagga : models wengi sasa hivi hasa humu mitandaoni wanapiga picha za nude what’s your take on this?
Lorraine : Oh nude is the freedom of oneself I have no problem with that but atleast sifanyike kimpangilio sio kufanya kugeza or ilimradi tu.And kuna watu na watu jamani haha pls wengne waache tu it’s ridiculous concepts/ideas n mostly just photographers using them🤷🏽♀️
Afroswagga : tips tatu kwa upcoming models
Lorraine: 1. be humble be respectful
2.do your best no matter what they say play your part well give them all you got
3.do research on what you like or love as of modeling #learnalittle
Afroswagga : tumeona umekua video vixen kwenye video ya Eddy Kenzo ilikuaje? any experience umepata?
Lorraine : Well I had a friend I worked with mda nyuma kidgo called me and told kuhusu the gig and I was like okay I’d love to do it na walikuwa wanatafuta watu mfano wangu so I met up with Kenzo he saw me told me the concept and we had to work from there. So many experiences you get working with different people from the directors MUA’s to the artist yaani so much.
But I also did a video before this ya SALIMA Linex ft Diamond Platnumz, so I can say I knew what I was to do.
View this post on InstagramA post shared by lolo (@lorraine_marriot) on
Afroswagga: apart na umodel unafanya nini kingine?
Lorraine : Well am a big sister,a coach/trainer for models beauty queens n pageants,work on my own projects,a friend,a lovern many more
Afroswagga : tutegemee nini kutoka kwako?
Lorraine : There are things that I am planning to do and with culture mara nyingi tunaachaga kwanza kutosema mpk tumeona vimetendeka. So I can say few things zipo fingers crossed prayers n all and pap one day yes.
Afroswagga : chochote ungependa kuwaambia watanzania..?
Lorraine : Ooh oh I have a lot to say especially from my area of work ingekuwa interview ya Tv it could be short n clear but as am writing I would like to say Modeling ni kazi pia and Tunaomba waTanzania waheshimu what we do as much as they respect photographers director designers well we need that respect on our work. And support to our beauty Queens who go represent our country from all stages not only one Ms Tanzania zipo nyingi universe,africa, tourismSupranational,Topmodel, extra and many more wafungeke zaidi.
And thank you guys for having me as your Model of the week and questions and following what I do so much thanks #Iappreciateit
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/model-of-the-week-lorraine-marriot/ […]