Niler Bernard ni mwanamitindo kutoka Tanzania ambae sisi tunaweza kusema we must watch her out maana kasi yake kubwa mno. Sio mwanamitindo mpya katika Tasnia yupo kwa miaka mitatu au minne (kama hatukosei) tunadhani alikuwa ana jiandaa na sasa ame rudi na we are loving her come back. Sisi tuna muita Teyana Taylor kutokana na mwili wake ulivyo na kidogo wame fanana
Teyana Taylor
Niler Bernard
tunahisi atakuja kufanya vizuri na kufika mbali sana kama atanedelea hivi tuna mtabiria kuwa next Herieth Paul.
amekuwa model wetu wa wiki hii kwa sababu nyingi lakini moja wapo ni jinsi anavyo weza kupose kwenye camera na body language
tumapenda kila picha aliyo ipost na hizi ni baadhi ya zilizo tuvutia kutoka kwake
unaweza kumfollow instagram @nilerbernard kuona mengi kutoka kwake.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/model-of-the-week-tanzania-own-teyana-taylor-niler-bernald/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 5517 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/model-of-the-week-tanzania-own-teyana-taylor-niler-bernald/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/model-of-the-week-tanzania-own-teyana-taylor-niler-bernald/ […]