Hamisa na Mama yake ni Duo amabyo hatuwezi ku ignore maana wapo kama mtu na dada yake, mama hamisa hayupo nyuma katika mitindo anajua avae nini na avae wapi. na katika mwezi huu wame onekana kupendeza zidi na mitoko yao kila mtu akiendana na mitoko hio kutokana na umri wake japo kuna saa wana vaa wakifanana kama hapa ambapo wote wame vaa ma dish dash
Hamisa akiwa katika picha ya juu na mama yake picha ya chini
hapa Hamisa amvaa bandage dress ndefu na kiremba akiwa kakivalia turban hii ni casual look
wakati mama mobetto yeye ame valia dish dash lake la kima mama kwa ajili ya mtoko
hapa mama Hamisa ame vaa skirt na blouse yake
Hamisa yeye ame rock colorful dera na mtandio ambao ame accessorize na head chain
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mother-daughter-duo-hamisa-na-mama-mobetto/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mother-daughter-duo-hamisa-na-mama-mobetto/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 8305 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mother-daughter-duo-hamisa-na-mama-mobetto/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mother-daughter-duo-hamisa-na-mama-mobetto/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mother-daughter-duo-hamisa-na-mama-mobetto/ […]