Kwa muda mrefu sasa blazers zimekuwa kwenye trend vitu vichache vinabadilika lakini zenyewe zinaendelea kuwa palepale, well tuliona trend ya blazer na biker shorts, tukaja kuona trend ya belted blazer na sasa tupo kwenye blaze na sheer skirts. Trend hii tuomeiona kwa baadhi ya fashionistas lakini pia watu maarufu mbalimbali kama Lupita Nyong’o, tumeona leo tuwaletee hapa mjue nini kinaendelea Duniani na kama utaipenda unaweza kujaribu lets say ni trend ambayo haiitaji nguvu sana.
This trend is more of chic trend unaweza kuvaa kwenye event kama dinner date na red carpet look, ni moja ya trend ambayo ina elevate your look from basic to fashionable, tumemuona fashion blogger Makuto Styles akiwa kwenye trend hii.
Debbie Beeko fashion blogger kutoka Ghana yeye tumemuona kwenye hii trend ambapo alivaa all white outfit, white tuxedo shirts, polkadot white shirt na white sandals, sexy and clean.
Sazi Hills yeye aliamuwa kuwa extra kidogo kwa kuvaa hii plaid blazer, na white ruffle sheer skirt akamaliza muonekano wake na belt nyeusi, handbag nyeusi, miwani na red pump shoes alizomatch na lipstick, way to go baby gal.
Muigizaji kutoka Kenya Lupita Nyong’o tulimuona kwenye silver carpet ya saga awards akiwa amevalia trend hii in cold shoulder blazer, akiwa amevalia na embellished sheer skirt nyeusi amemalizia muonekano wake na box braids.
Well Afromates is this trend a yay or nay?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/move-over-biker-shorts-its-time-for-sheer-skirts-and-blazers/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/move-over-biker-shorts-its-time-for-sheer-skirts-and-blazers/ […]