Mitindo ya kujifunga kilemba inayo itwa turban (turban head cover) ni mtindo wa kisasa mitindo ambao una funika kichwa na kuacha shingo wazi, kuna migogoro kwamba haifai kwa sababu haifuniki shingo
ikivaliwa ipaswavyo basi inafaa na kukupa muonekano wa kupendeza
Mitindo inakua mambo yanabadilika wasichana wengi wana penda kuonekana wa kisasa na staili ya turban ni moja ya mtindo ambao wasichana wanapenda sana hasa kutokana na kwamba unaweza kufunga kwa namna tofauti tofauti na kuvaliwa na nguo tofauti
“‘kuna muda ina chosha kuvaa hijab kwa namna moja kila siku” wasichana wengi husema hivyo
” staili ya turban ni mabadiliko makubwa kwa wasichana wanao vaa hijab kwa sababu unaweza kubadilisha mtindo wa jinsi ya kuvaa kila mara”
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 85329 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mtindo-wa-turban-ni-mkombozi-wa-wanao-vaa-hijab/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mtindo-wa-turban-ni-mkombozi-wa-wanao-vaa-hijab/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mtindo-wa-turban-ni-mkombozi-wa-wanao-vaa-hijab/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mtindo-wa-turban-ni-mkombozi-wa-wanao-vaa-hijab/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mtindo-wa-turban-ni-mkombozi-wa-wanao-vaa-hijab/ […]