Linda bezuidenhout ni mwanamama kutoka Tanzania mwenye makazi yake yako nje ya Nchi, Linda ni mbunifu ambae amepata Tuzo kadha wa kadha nchini na pia huko anapo ishi sasa hivi. Linda amekua akiitangaza Tanzania kwa upande wa ubunifu pia ana kampuni yake ya ubunifu iitwayo Lb Apparel lakini pia ana mtoto aitwae Maryam ambae ana fuata nyayo za mama yake.
Hivi karibuni Maryam ameonyesha kipaji chake katika kubuni nguo/mavazi kwa midoll, maryam hutumia vitambaa ambavyo mama yake (Linda) ametumia katika kazi zake na kubakisha, ukiangalia kazi ya Maryam utaona ni kiasi gani mtoto huyu ana kipaji na kwamba atakuja kusumbua baadae katika ulimwengu wa ubunifu. kwa umri alio kuwa nao na pia nyenzo azitumiazo huwezi kuamini kama ni kweli amefanya huu ubunifu mwenyewe.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mtoto-wa-mbunifu-ambae-nae-ni-mbunifu/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 92684 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mtoto-wa-mbunifu-ambae-nae-ni-mbunifu/ […]