Zynnell Lydia Zuh ni moja kati ya waigizaji slayers kutoka Ghana tulisha wahi kusema huyu dada huwa hapanii kwenye red carpet huwa ana komoa, ukiwa nae katika red carpet moja inabidi ujibebe hasa katika mavazi maana anaweza kukuaibisha,
lakini cha kutustaajabisha ni hili vazi alilo livaa katika red carpet ya Cannes Film Festival. Ni mmoja kati ya waigizaji wachache kutoka Africa ambao wamepata nafasi ya kukanyaga red carpet hii ambapo sisi kwa jinsi ambavyo tunamjua “mama sina dogo” au “sipigiwi nacheza” tulijua atakuja na kitu hatari lakini ikawa nyuma ya mategemeo yetu.
hatusemi hakupendeza Lah! Hasha lakini sisi tulitegemea awe mkombozi wetu kwa kuonekana katoka Africa lakini ame-slay sana, Zynnell aliamua kuvaa african print dress ambayo nguva yake ni kama ile ambayo Mac Couture alimvalisha Wema na akatuambia amechukua miaka miwili kuibuni
Hatujui kama waliiona ya Wema wakaamua ku-copy ila kujaribu marinda madogo huku kwenye nguva but again it failed big time, chochote ambacho wabunifu hawa wawili walikuwa wana jaribu kufanya kumleta huyu nguva mwamvuli katika uhalisia kimegoma. Japo tunahitaji creative people lakini pia hio creativeness inabidi iangaliwe je iko sawa?
hatujui kama kuna wekwa godoro au vipi ila hivi ndivyo hili gauni linaonekana kwa nyuma haipo neat, kiukweli tunaweza kusema Zynnell ame tu-disappoint tulitegemea kubwa kutoka kwake na si hili.
Well tupe maoni yako kupitia account zetu katika mitando ya kijamii.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…