Kwasasa kinacho trend katika upande wa mavazi kwakina kaka ni suit zenye rangi zaidi ya moja, sio zile ambazo tumezoea kuona suit nyeusi, pink, blue etc. Hizi zinakuwa ombre, suit inakuwa na rangi zaidi ya moja.
Tumeipenda hii trend hasa pale inapovaliwa proper na rangi ya suit ikaendana, wanaume huwa wana trend chache sana hasa kwa upande wa suit, huwa wanavaa hizohizo kwenye red carpet, harusi, maofisini inakuwa tumeshazoea kuwaona hivyo inakua haileti utofauti.
Tunatumaini tutawaona kaka zetu hapa Nchini kwenye hii trend but mostly ni kuona wameitendea haki trend hii, as they say normal is boring.
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/multicolor-suit-trend-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/multicolor-suit-trend-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 12309 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/multicolor-suit-trend-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/multicolor-suit-trend-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/multicolor-suit-trend-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/multicolor-suit-trend-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/multicolor-suit-trend-for-men/ […]