Ikiwa wengi wanadhani muonekano hauleti impact yoyote katika maisha yao leo tungependa kuwakumbusha kwamba “Muonekano Unaweza Kukufungia Milango Au Kuifunga”.
- Uaminifu
Muonekano wako ukiwa mzuri ni rahisi kuaminiwa, unapoenda sehemu cha kwanza ambacho uangaliwa kama unaweza kuaminiwa ni muonekano. Je appearance yako inalipa? unafaa kupewa hio position? unaweza kuwa unakila kigezo lakini ukikosa cha appearance nzuri basi ukakosa kupata nasafi.
- Kujiamini
Unapokuwa na muonekano mzuri kimavazi inaboost confidence yako, na hii ndio maana mara nyingi kama unaenda kwenye mikutano yoyote ya biashara au kikazi unashauriwa kuwa na muonekano mzuri. Ukiwa unajiamini na muonekano wako, utajiamini na unachokiongea mwisho wa siku milango inafunguka kutokana na tu na kuwa na muonekano mzuri.

- Send The Right Message
Muonekano wako unatoa ujumbe sahihi wa namna ambavyo unajisikia, yes kama utavaa kama umetoka kulala basi ndivyo ambavyo watu watajua kwamba umetoka kulala. Kwaio jitahidi kuongea kupitia muonekano wako nini unataka kusema, je unataka kusema wewe ni boss? then dress like one.
- Kuwa Kioo Cha Hadhira Yako
Huitaji kuwa boss kuwa na hadhira iwe ni mama wa nyumbani, mfanyakazi wa kawaida etc ukivaa vizuri una heshimika na kufanya wengine wawe wanakuangalia kama kioo chao, na hapa ndipo ambapo milango inaweza kufunguka zaidi na zaidi.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/muonekano-wako-unaweza-kukufungulia-milango-au-kuifunga/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 5892 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/muonekano-wako-unaweza-kukufungulia-milango-au-kuifunga/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/muonekano-wako-unaweza-kukufungulia-milango-au-kuifunga/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/muonekano-wako-unaweza-kukufungulia-milango-au-kuifunga/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/muonekano-wako-unaweza-kukufungulia-milango-au-kuifunga/ […]