Mustafa Hassanali ndo jina lake kamili amezaliwa mwaka 1980 (35), ame somea udaktari lakini mitindo ndio ime kua fani yake toka mwaka 1999. Mustafa akiwa na miaka 19 aliweza kumvalisha Miss Tanzania wa mwaka 1999 Hoyce Temu vazi la jioni (evening dress) kuanzia hapo ndipo jina lake lilipo anza kukua katika ulimwengu huu wa mitindo. Mustafa ameweza kushikiria nafasi yake ya uana mitindo kwa kubuni kitu kipya kila kunapo kucha hakika Tanzania tunajivunia kuwa na mbunifu huyu.
Mustafa ametuwakilisha vyema katika nchi mbali mbali kama Kenya,Uganda,na pia kama haitoshi Mustafa alitajwa kama mbunifu mkubwa wa kiume kutoka Afrika na UK’s NEW AFRICAN WOMEN pia Kenya Airways MSAFIRI magazine walimuita COUNT OF COUTURE na ni mbunifu pekee kutoka Afrika mashariki kushirikishwa na Forbes Africa.
Mustafa ameshiriki katika majukwaa mbali mbali kama
Dakar Fashion Week Senegal 2012
Mercedes-Benz Fashion Week Africa 2013
Muungano Collection Moscow Russia 2014
SOUTH AFRICA MENS WEAR WEEK 2015
Na hivi karibuni aliungana na wabunifu wengine kutoka tanzania kwa ajili ya fashion for peace 2015
kujua zaidi mfollow katika instagram yake @mustafahasanali au tembelea www.http://mustafahassanali.net
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…