Mbunifu mkongwe wa mavazi nchini Tanzania, Mustafa Hassanali alikuwa mmoja wa wabunifu walioonesha kazi zao Oktoba 13 katika jukwaa la mitindo lenye hadhi ya kipekee lifanyikalo Ethiopia kila mwaka lijulikanalo kama “HUB OF AFRICA FASHION WEEK 2017”
Collection hii ya Mustafa imeitwa “Tengeneza Tanzania” au “Make in Tanzania”. Yote hii ni nia ya dhati ya Mustafa kumuunga mkono Rais wetu John Pombe Magufuli katika kutimiza sera ya uchumi, viwanda na uwekezaji. Ni ndoto na matamanio ya Mustafa kuweza kuanzisha na kutangaza viwanda vya nguo vilivyopo nchini Tanzania na kuweza kuipanua kimasoko nchi yetu.
Well collection hii imeonekana kuwa ya kitofauti na ya kipekee ukilinganisha na collection zilizopita za Mustafa. Ameweza kutumia material ya pamba na African prints khanga na vitenge vipatikanavyo hapa hapa nchini. Pia uchanganyaji wa rangi na designs za nguo ni zakuvutia na zenye wepesi, zikiweza kuvaliwa majira ya summer (kiangazi) as casual outfits kwa wadada na wakaka vilevile.
Make in Tanzania Collection imeweza kucombine dress styles mbalimbali from crop tops, mini dresses, shorts na long casual dresses which also can serve as night outfits unapoattend a casual needing event.
Tunazidi kuwapongeza wabunifu wa Tanzania wenye kiu ya kuleta mabadiliko katika tasnia hii ya mitindo kwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika maonesho ya mavazi katika nchi za nje barani Africa na hata ulaya. Ni hatua mojawapo katika kutangaza mavazi ya kiAfrica na pia kukuza uchumi wa taifa letu.
Ni mategemeo yetu kuona wabunifu wengi zaidi wakishiriki katika maonesho mengine mengi huku vazi la khanga na kitenge likiwa kidedea karika majukwaa haya makubwa,Je umependa nini katika hii collection?
Imeandikwa na @willibard_jr
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mustafa-hassanali-make-in-tanzania-collection-review/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 44380 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mustafa-hassanali-make-in-tanzania-collection-review/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mustafa-hassanali-make-in-tanzania-collection-review/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 53359 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mustafa-hassanali-make-in-tanzania-collection-review/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mustafa-hassanali-make-in-tanzania-collection-review/ […]