Mwamvita Makamba ni mtoto wa mzee Yussuf Makamba ambae ni mwanasiasa kutoka chama cha Mapinduzi (CCM), Mwamvita ame jipatia jina kutoka na baba yake na kaka yake kuwa wanasiasa wakubwa nchini. ukiachana na hayo mwamvita ameonekana akipenda sana mitindo siku hizi za karibuni amekuwa akituonyesha mavazi yake aliyo yavaa kila siku ana piga picha na kuweka katika kurasa zake za mitandao ya kijamii.
Leo amevaa skater Skirt na Thing High Socks kitu ambacho hatuku kitegemea kutoka kwake, tumezoea kumuona kimama na kiofisi zaidi lakini amependeza ameonekana msichana mdogo mwenye kujua mitindo. kizuri zaidi ni kujistiri kwa socks kwa maana ange vaa skater skirt tupu ingekua habari nyingine we love this look kutoka kwa mwamvita she got style.
Mwamvita kavaa blouse ya mikono mirefu, skater skirt ya grey ambayo ina belt nyeusi na thing high socks nyeusi na mid heels nyeusi, pia ame accessorize kwa kuvaa saa na statement necklase. just Stylish.
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mwamvita-makamba-ndani-ya-skater-skirt/ […]