We live for a creative mind hasa linapokuja katika swala la fashion na style, inaonekana tunako elekea ni kuzuri as personal fashion bloggers wameanza kujitokeza na kuwa wanatupa tips za vitu mbalimbali including kuslay in budget lakini pia namna za kuwa creative kutumia mavazi yako hasa katika kuyavaa na ku-style zaidi ya mara moja.
Nani hana kipande cha kitenge katika kabati lake? sote tunavyo ni kitu muhimu kuwa nacho hasa kwa mtoto wa kike wa ki-Africa, Fashion & Life Style Blogger kutoka Tanzania Jackie Mujulizi ambae anamiliki blog yake iitwayo JmFernweh ametuonyesha ni namna gani unaweza ku-style kipande chako cha kitenge ambacho hakija shonwa kwa namna 3, lets dive in shall we?
Muonekano wake wa kwanza ulikua A kitenge turban with modern twist, Amevaa kiremba cha kitenge na black high sit dress huku akiwa amemalizia muonekano huu na miwani, hoop eaarings na gold strap sandals, perfect look for a date night, brunch with the gals lakini pia a helpful tip on a bad hair day, huitaji kukataa mualiko, grab a kitenge & turban it.
Week ya pili alituonyesha namna ya kuvaa kipande cha kitenge kama top, ambapo hii ilikuwa kama a off shoulder crop top, kwa mbele alikifunga in a very stylish way, again unaweza kuvaa hii top kwenye mitoko yako ya usiku lakini to be secure tungekushauri kufunga hapo mbele kwa nguvu au tumia safe pin kuwa na uhakika zaidi.
The back ya kitenge crop top, alivaa top hii na pallazo, hereni kubwa za hoop na gold strap sandals.
Style ya tatu na ya mwisho Jackie alitumia kitenge kuvaa kama hoodie, ameshikilia kitenge chake kisianguke na belt.
Amemalizia muonekano wake na skin jeans nyeusi,na nude pumps, love it.
Unaweza kum-follow Jackie Instagram @jmfernweh
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-3-za-kustyle-kitenge-chako-inspiration-kutoka-kwa-blogger-jackie-mujulizi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-3-za-kustyle-kitenge-chako-inspiration-kutoka-kwa-blogger-jackie-mujulizi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-3-za-kustyle-kitenge-chako-inspiration-kutoka-kwa-blogger-jackie-mujulizi/ […]