Kwa hizi mvua zinazo endelea kama kunakitu amabcho huwa kinaumiza kichwa ni uvae kiatu gani kazini, as we all know heels na matope haviendani. Kuna viatu vingi vya kuvaa ambavyo ni flats lakini na hii mvua viatu ambavyo vinaweza kukabiliana na tope hasa ni sneakers.
Wengi wanajiuliza ni vipi utavaa sneakers kazini? Hapa kuna mambo matatu ya kuzingatia
- Nature ya kazi yako
- office dress code
- what you pair with
Kama nature ya kazi yako hairuhusu kuvaa sneakers basi usivae, na kama katika dress code ya ofisini kwenu hawaruhusu sneakers basi usivae pia lakini pia nini utavaa na hizo sneakers kumbuka ni kazini kwaio jaribu kufanya muonekano wako uwe kiofisini na sio too casual.
Sneakers With Suit – Kama ume notice Fashionista’s wengi sasa hivi wanavaa sneakers na suit, na zinapendeza sana unachotakiwa kufanya ni kutafuta neutral color suit ambayo uta ivalia na top ambayo inaendana na rangi ya suit kidogo na yenyewe iwe official usivae na T-shirt. Halafu vaa na sneakers za rangi uipendayo lakini prefereble ni zile ambazo zina rangi iliyo tulia na sio zile lenye rangi nyingi nyingi.
Sneakers With Pencil Skirt – a pencil skirt is office wear essential, unaweza kuvaa pencil skirt yako na botton down shirt ukimalizia na sneakers na handbag.
Sneakers With A Dress – Japo wengi huwa wanapinga hili vazi kwetu ni our favorite, sneakers with a dress looks stylish. Kama unavaa kazini unaweza kutafuta color zinazo fanana kama nude sneakers na nude dress lakini pia unaweza kuvaa upendavyo, kumbuka kuongezea accessories kama blazer, statement necklace au saa to make it look more official.
Sneakers Na Corporate Trouser Na Shirt – Kama ni mpenzi wa suruali unaweza kustyle sneakers zako na suruali yako ya kitambaa, na button up shirt. Suruali itakuwa vizuri kama ikiwe well fitted chini isiwe bwanga
Kama utajaribu kuvaa sneakers kazini husisite kututag katika mitandao yetu ya kijamii
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-4-za-kuvaa-sneakers-ofisini/ […]