Kwa wavulana kuonekana upo fashionable ni rahisi mno kwa sababu fashion zao hazibadiliki mara kwa mara kama una viatu vizuri, suruali au kaptura nzuri na shirt au t-shirt nzuri basi ukivaa utaonekana umependeza lakini ni vipi uonekane stylish? ukiachana tu na kuvaa ulivyo vizoea? our favorite male youtuber/vlogger Alex Costa ana tupa tips 5 za jinsi unavyo weza kuboresha muonekano wako
- Badilisha Muonekano ( Change It Up) – ana sema tumezoea kuvaa t-shirt/shirt au suruali tukiwa tumeziachia lakini unaweza kuboresha muonekano wako kuonekana wa tofauti kwa kukunja mikono ya shirt au t-shirt lakini pia una weza kukunja miguu ya suruali.
2. Add layers kwenye mavazi yako – kuongezea layers ni kuongeza nguo juu ya nguo yaani kama kuvaa coat la suit juu ya t-shirt, kuvaa kimon etc
3. Accessories – kama ambavyo ilivyo kwa wadada kwa wakaka pia ina apply accessories zinaweka ku upgrade muonekano wako kutoka 0- 100%, inaweza kuwa saa, mkanda, bracelets etc
4. Safisha Viatu – hii ni tip muhimu tuliyo ipata kutoka kwake, hata kama umependeza kiasi gani kama viatu vichafu basi muonekano wako wote una haribika so clean your shoes brothers.
5. Peleka Nguo Zako Kwa Fundi – Nguo zinazo kutosha always zinakufanya uonekane fashionable
Unaweza kuangalia video yake hapa akiwa ana kuelezea vizuri kabisa
Ni matumaini yetu mme jifunza kusoma jinsi ya kuboresha muonekano wako kwa upande wa wasichana click hapa
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 44324 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-5-za-kuboresha-muonekano-wako-men-version-by-alex-costa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-5-za-kuboresha-muonekano-wako-men-version-by-alex-costa/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-5-za-kuboresha-muonekano-wako-men-version-by-alex-costa/ […]