Animal print ni vile vitambaa ambavyo vimekuwa inspired na ngozi ya wanyama, kama chui, zebra, nyoka na wengine wengi, mavazi haya yalianza toka zamani ambapo miaka hio wanyama walikuwa wakiuliwa kwenye na ngozi yake kuchukuliwa na kutengenezea mavazi, ambapo ulikuwa ukivaa animal print unaonekana mtu mwenye uwezo mkubwa, tofauti na sasa ambapo vitambaa huchukuliwa zinakuwa printed tu kwenye canvas na kitambaa kinatokea.
Trend hii imeonekana kutumiwa sana na kina dada, wanaume wachache wameonekana kuvaa animal print,hizi ni tips ambazo tumewaandalia namna ambavyo mwanaume anaweza kuvaa animap print trend
- As A Statement Long Coat
Kama ambavyo tunamuona hapo Nigerian fine man, Ebuka amevaa all back outfit ambapo juu ameongezea hii long coat snake print coat iliyoongezea chachu katika muonekano wake, as you can see the black outfit ilikuwa kawaida na coat ndio imeleta statement na kufanya outfit i-stand out.
- A little glimpse of it
Kama si mpenzi wa kuwa umevaa a full animal print cloth unaweza kuwa kama Juma Jux hapo chini, ambapo yeye amevaa coat yenye touch’s za animal print shingoni na mikononi, sometime less is more.
A Dare
kama wewe unapenda ku-dare basi go full kama Cyrill Kamikaze, yeye amevaa leopard print shirt, amemalizia na suruali nyeusi, viatu vyeusi na miwani, so stylish.
Lakini pia unaweza kuvaa kama accessories,unaweza kuvaa kama viatu, kofia, miwani, scarf na ukapendeza na kuwa on trend,
Kama utajaribu trend hii usisite kutu-tag katika accounts zetu kwenye mitandao ya kijamii
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ambavyo-mwanaume-anaweza-kuvaa-trend-ya-animal-print/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 59930 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ambavyo-mwanaume-anaweza-kuvaa-trend-ya-animal-print/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ambavyo-mwanaume-anaweza-kuvaa-trend-ya-animal-print/ […]