Tumekuwa tukipata maswali mara mengi na wengine wamekuwa wakiwauliza fashionista’s na stylist vipi wanaweza kuwa wanaonekana vizuri siku zote? ukiachana na kwamba styling is an art lakini namna ambavyo unavaa mavazi yako au unajivalisha inatokana na jinsi unavyo jisikia kuhusu wewe.
Unaweza ukawa sio stylist lakini ukawa unajipenda mwenyewe na kupenda kupendeza, well hii inakuaje? unaweza kukutana na watu wa aina mbalimbali katika mazingira tunayoishi unaweza kukuta watu wanafanya biashara moja na inawezekana wakawa wanapata kipato kimoja lakini mwingine anapendeza sana na mwingine yupo tu kawaida, hii inaonyesha kuna yule ambae anajijali na kuna yule ambae ana attitude ya kutokujali.
Kama unaamini katika kujipenda mwenyewe basi ni dhahiri utajipenda ndani na nje, utapenda kuonekana umependeza na sio kwa ajili ya mtu ila unapata ile feeling ya satisfactions kwa kujipenda mwenyewe, tunaweza kusema looking good inaanzia deep down inside, je unajichukuliaje? unaself love? self confidence?
Mazingira tunayoishi yanachangia sana hapa utakuta wakati watoto wanakuzwa mmoja anasifiwa mzuri mwingine akiwa anaambiwa yah wewe mzuri lakini sio kama fulani, hii inamfanya mtoto kutokuwa na confidence ndani yake na anaweza kujichukia, mavazi yake yanaweza kuwa hideous ana jificha sio mtu wa kuvaa mavazi akajiachia na hii kwa sababu anahisi labda nikivaa mavazi ya kujionyesha itakuwa rahisi mtu ku-notice mimi si mzuri, lakini yule ambae anaambiwa ni mzuri always anakuwa anajiachia, well acha tukwambie kitu kila mmoja wetu anauzuri wake na unaanza na kujiamini mwenyewe hata sikumoja dont let one’s opinion kukufanya uishi maisha ambayo sio yako (kumbuka tunaishi mara moja tu make that moment worthy your stay) ishi watu wakiwa wanakukumbuka waseme aliishi maisha yake. Love Your Self & Slay The Entire Universe
Style inaingiliana na attitude, confidence & self love, It Is Not Just The Cloth But It Is Who You Are Internally
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…